UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI 2025/2026, TAREHE 28 APRILI 2025 BUNGENI DODOMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko(wa nne toka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mawaziri wa Nishati wa nchi wanachama wa Umoja wa Soko la pamoja la Kuuziana Umeme katika ukanda wa Mashariki mwa Afrika (EAPP) mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa 20 wa Baraza la Mawaziri wa Nishati wa nchi Wanachama wa Umoja wa Soko la Pamoja la Kuuziana Umeme katika Ukanda wa Mashariki mwa Afrika (EAPP), mkutano huo umefanyika 17 Aprili 2025 Jijini Kampala, Nchini Uganda
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko(wa nne toka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mawaziri wa Nishati wa nchi wanachama wa Umoja wa Soko la pamoja la Kuuziana Umeme katika ukanda wa Mashariki mwa Afrika (EAPP) mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa 20 wa Baraza la Mawaziri wa Nishati wa nchi Wanachama wa Umoja wa Soko la Pamoja la Kuuziana Umeme katika Ukanda wa Mashariki mwa Afrika (EAPP), mkutano huo umefanyika 17 Aprili 2025 Jijini Kampala, Nchini Uganda
Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) ambalo linazalisha megawati 2,115
HONGERA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, Kwa kutimiza miaka minne madarakani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi akiwasili katika Kongamano na Maonesho ya Petroli Afrika Mashariki (EAPCE’25) ambalo limefanyika jijini Dar es Saalm,kulia Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika banda la Wizara ya Umeme nchini India ili kufahamu shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Wizara hiyo katika Kongamano na Maonesho ya Wiki ya Nishati ya India yanayofanyika katika Jiji la New Delhi, India. Kushoto kwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ni Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe.Anisa Mbega.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wakuu wa Nchi mbalimbali barani Afrika na Viongozi wengine wakishiriki Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchemsi Mramba akizungumza katika mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika leo Januari 27, 2025 jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akifungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika jijini Dar es salaam.