TANZANIA NA UGANDA ZAWEKA HISTORIA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI AFRIKA MASHARIKI (EACOP)
Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda, Dkt. Ruth Nankabirwa, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzani...
MRADI WA EACOP WAFUNGUA FURSA ZA AJIRA NA KUCHOCHEA MAENDELEO YA UCHUMI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB) amesema Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania (EACOP) umefungua fursa mbalimbali za ajira, biashara na maendeleo ya uchumi kwa Watanzania, hususani wananchi wanaoishi k...
WIZARA YA NISHATI YATAMBUA MCHANGO WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA SEKTA YA NISHATI
Wizara ya Nishati imepongeza mchango mkubwa wa vyombo vya habari nchini kwa kuwa washirika wa karibu na nguzo muhimu katika kuhakikisha Watanzania wanapata taarifa sahihi na kwa wakati kuhusu Sekta ya Nishati.Akizungumza Jijini Dodoma, Mkuu wa Kiteng...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAFUNGUA FURSA MPYA ZA AJIRA KWA WATANZANIA
Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia yameendelea kufungua fursa nyingi za ajira kwa Watanzania, hususani katika uzalishaji wa mkaa mbadala na utengenezaji wa mashine za kuzalishia mkaa huo. Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia kutoka W...
WAZIRI NDEJEMBI ATAKA HAKI NA USAWA KUZINGATIWA KWA WAWEKEZEJI WA MAFUTA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deugratius Ndejembi, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha inatenda haki kwa wawekezaji katika sekta ya mafuta bila upendeleo wowote, na kusisitiza kuwa maamuzi yote yafanywe kwa kuzinga...
WANANCHI KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA KIJAMII MRADI WA LNG MKOANI LINDI
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi ameeleza kuwa utekelezaji wa mradi wa kubadilisha gesi asilia kuwa kimiminika ( LNG) unatarajiwa kuwanufaisha wazawa kwa kiasi cha takribani dola za Marekani milioni 10 (USD 10M) pindi mradi huo utakapoanza...
TUZINGATIE MATUMIZI YA RASILIMALI ZETU KATIKA KUTEKELEZA MPANGO WA KUZALISHA UMEME WA NYUKLIA NCHINI...
Mkurugenzi Mkuu Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania(TAEC) Prof. Najat Mohammed amewataka wajumbe wa Kamati tendaji ya uratibu Mpango wa uzalishaji umeme wa Nyuklia Nchini(NEPIO) kuhakikisha wanaanza maandalizi mapema ya namna mpango huo utakavyotekelez...
TUNAIMARISHA GRIDI YA UMEME YA TAIFA ILI WANANCHI WOTE MPATE UMEME WA UHAKIKA – DKT. NCHEMBA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema baada ya Tanzania kuzalisha umeme wa kutosha kupitia miradi mbalimbali ukiwemo Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), hatua inayofuata ni kuhakikisha wananchi wote...
WAZIRI MKUU APONGEZA TPDC KWA UJENZI WA SHULE YA MSINGI LIKONG'O KUPITIA MRADI WA LNG
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba amepongeza Wizara ya Nishati kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa ujenzi wa shule bora ya Awali na Msingi katika Kijiji cha Likong'o mkoani Lindi inayojen...
GEREZA LA KILIMO URAMBO KUNEEMEKA NA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepanga kupeleka majiko matatu ya kisasa yanayotumia mkaa mbadala pamoja na sufuria zake katika Gereza la Kilimo Urambo, mkoani Tabora.Hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za Serikali kuimarisha matumizi...
MRADI WA USAMBAZAJI UMEME VITONGOJINI SIHA-KILIMANJARO WAZINDULIWA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa usambazaji wa umeme katika vitongoji vya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, akisisitiza kuwa Serikali itaendelea kutekeleza dhamira ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....
REA KULIONGEZEA UWEZO GEREZA LA KASULU KUZALISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) italipelekea Gereza la Kasulu mkoani Kigoma mashine moja ya kisasa ya kutengeneza mkaa mbadala, hatua inayolenga kuliwezesha gereza hilo kuondokana na njia duni zilizokuwa zikitumika awali kuzalisha m...
MAADILI KAZINI YAWE MSINGI WA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI – NDEJEMBI
Watumishi katika Wizara ya Nishati wametakiwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma ili kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania, hususan kwa kujiepusha na vitendo vya rushwa, ubadhirifu na uzembe mahali pa kazi.Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratias...
GEREZA LA KIBONDO LABUNI MKAA MBADALA KUTEKELEZA AGIZO LA SERIKALI LA NISHATI SAFI
Jeshi la Magereza wilayani Kibondo mkoani Kigoma limeanza kutumia mkaa mbadala unaotokana na mchanganyiko wa maranda ya miti na udongo unaozalishwa ndani ya Gereza la Kibondo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Serikali la matumizi ya nishati...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAONGEZA UFANISI WA KAZI KWENYE MAGEREZA
Mkuu wa Gereza la Bukoba, Bw. Aloyce Kalihamwe amesema matumizi ya nishati safi ya kupikia yameleta mageuzi makubwa katika utekelezaji wa majukumu ya Magereza nchini yakichangia kwa kiasi kikubwa kuongeza ufanisi wa kazi, kulinda afya na mazingira pa...
JESHI LA MAGEREZA LATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI LA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Jeshi la Magereza nchini limetekeleza agizo la Serikali la matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Taasisi zinazolisha watu zaidi ya 100 suala linaloifanya jeshi hilo kujikinga na athari zinazotokana na nishati isiyo safi ya kupikia kama vile kuni na...
UWEKEZAJI MKUBWA ULIOFANYWA NA SERIKALI KITUO CHA GESI ASILIA MLIMANI WALETA NAFUU KWA WANANCHI
Naibu waziri wa Nishati Mhe.Salome Makamba ameeleza kuwa, Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika kujenga kituo cha kujaza gesi asilia kwenye vyombo vya usafiri katika eneo la Mlimani jijini Dar es Salaam ambapo zaidi ya sh.Bilioni 12 zimetumika ku...
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YATOLEWA KWA WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MIC...
Wizara ya Nishati kupitia kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia leo Disemba 11, 2025 kimetoa mafunzo kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo katika Ofisi za Wizara hiyo, zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambapo watumis...
NDEJEMBI AZINDUA MKAKATI NA MPANGO KAZI WA MAGEUZI YA NISHATI UTAKAOTEKELEZWA NA NCHI ZA AFRIKA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua Mkakati na Mpango Kazi wa Mageuzi ya Nishati ambao utatekelezwa na Nchi za Afrika kupitia Kamisheni ya Nishati ya Afrika (AFREC).Uzinduzi huo umefanyika leo Desemba 11, 2025 ikiwa ni muendelezo wa...
TUNAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA UMEME ILI WANANCHI MPATE UMEME WA UHAKIKA- MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kuboresha miundombinu ya umeme nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika.Mhe. Salome ameyasema hayo Novemba 11, 2025 Jijini...