NAIBU WAZIRI WA NISHATI AZINDUA MPANGO WA MIAKA MINNE WA MASUALA YA JINSIA WA TANESCO
NAIBU WAZIRI WA NISHATI AZINDUA MPANGO WA MIAKA MINNE WA MASUALA YA JINSIA WA TANESCONaibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amezindua Mpango wa miaka minne wa masuala wa jinsia wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambao utawezesha masuala...
DOLA BILIONI 1.9 KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA NCHINI
DOLA BILIONI 1.9 KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA NCHINIWaziri wa Nishati, January Makamba amesema kuwa Serikali imetenga fedha kiasi cha Dola za Marekani bilioni 1.9 kwa ajili ya miradi ya kuimarisha gridi ya Taifa kwa kipindi cha miaka minne.Makamba amese...
Wawekezaji kutoka Uganda waonyesha nia ya kuwekeza katika miradi ya umeme Tanzania
Wawekezaji kutoka Uganda waonyesha nia ya kuwekeza katika miradi ya umeme TanzaniaWaziri wa Nishati Mhe. January Makamba amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uganda nchini Tanzania pamoja na wawekezaji kutoka nchini humo wamemweleza Waziri ni...
DIRA YA TAIFA YA KUHAMIA KATIKA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUZINDULIWA MWEZI JUNI
DIRA YA TAIFA YA KUHAMIA KATIKA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUZINDULIWA MWEZI JUNIWaziri wa Nishati, Mhe. January Makamba ameeleza kuwa, mwezi Juni mwaka huu utafanyika uzinduzi wa kitaifa wa Dira ya Taifa ya kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya ku...
Naibu Katibu Mkuu Nishati aongoza kikao cha Kikundi Kazi cha Taifa cha Nishati Safi ya Kupikia
Naibu Katibu Mkuu Nishati aongoza Kikao kazi cha Kikundi Kazi cha Taifa cha Nishati Safi ya Kupikia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Athumani Mbuttuka ameongoza kikao cha wataalam wa Kikundi Kazi cha Taifa cha Nishati Safi ya Kupikia ili kupitia...
Mradi wa kufua umeme wa Kakono kuanza
Mradi wa kufua umeme wa Kakono kuanzaShilingi Bilioni 750 za kuendeleza mradi zasainiwa Mradi wa kufua umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Kagera (Kakono) wenye uwezo wa MW 87.8 utaanza kutekelezwa hivi karibuni baada ya kusainiwa kwa mkopo w...
Serikali, WFP, UNCDF kuwezesha 80% ya watanzania kutumia Nishati Safi ya Kupikia
Serikali, WFP, UNCDF kuwezesha 80% ya watanzania kutumia Nishati Safi ya KupikiaSerikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani (WFP), Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF) na wadau wengine wa maendeleo ndani na...
KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA JAPAN NCHINI
KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA JAPAN NCHINIKatibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na kufanya mazunguzo na Balozi Mpya wa Japan nchini Tanzania, Yasushi Misawa kuhusu kuendelea kushirikian...
UJENZI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KATIKA MRADI WA JNHPP YAFIKIA ASILIMIA 92
UJENZI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KATIKA MRADI WA JNHPP YAFIKIA ASILIMIA 92Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba amesema kuwa, Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea na utekelezaji wa mradi wa njia ya kusafirisha umeme kut...
MAJADILIANO MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA (LNG) YAKAMILIKA
MAJADILIANO MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA (LNG) YAKAMILIKAWaziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, amesema kuwa, majadiliano yanayohusu Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia baina ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji Kampuni ya S...
MAKAMBA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI KATIKA MJI WA SERIKALI, DODOMA
MAKAMBA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI KATIKA MJI WA SERIKALI, DODOMAWaziri wa Nishati Mhe. January Makamba tarehe 01/03/2023, amekagua Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Ofisi za Wizara ya Nishati zilizopo katika mji wa Serikali Mtumba.Waziri...
NAIBU KATIBU MKUU MBUTTUKA AOMBA USHIRIKIANO KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE NISHATI
NAIBU KATIBU MKUU MBUTTUKA AOMBA USHIRIKIANO KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE NISHATI*Aahidi kutoa ushirikiano mzuri kwa uongozi na watumishi wa Wizara ya Nishati kuendeleza utendaji mzuri.Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati ameomba kupatiwa ushirikiano m...
MAKAMBA AWATAKA WARATIBU WAPYA MIRADI YA UMEME VIJIJINI KUTOIANGUSHA SERIKALI
MAKAMBA AWATAKA WARATIBU WAPYA MIRADI YA UMEME VIJIJINI KUTOIANGUSHA SERIKALIWaziri wa Nishati, January Makamba amewaasa vijana walioajiriwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa nafasi ya Waratibu Miradi ya Umeme Vijijini kutekeleza majukumu yao k...
BODI YA WAKURUGENZI MRADI WA UMEME WA RUSUMO YAKAGUA MRADI
BODI YA WAKURUGENZI MRADI WA UMEME WA RUSUMO YAKAGUA MRADINA. RUBEN RICHARD- RUSUMO NGARA.Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi kutoka Tanzania wanaosimamia mradi wa kuzalisha umeme wa Maji wa Rusumo wamefanya ukaguzi wa kazi ya ujenzi wa Mradi huo ambao kw...
WADAU WA NISHATI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI MKUTANO NA MAONESHO YA PETROLI YA AFRIKA MASHARIKI
WADAU WA NISHATI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI MKUTANO NA MAONESHO YA PETROLI YA AFRIKA MASHARIKIWadau mbalimbali katika Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia nchini wamehamasishwa kushiriki katika Mkutano na Maonesho ya 10 Petroli yanayotarajiwa kufanyika nchini...
Watanzania 170 watakaohusika katika mradi wa Bomba la Mafuta wapata mafunzo
Watanzania 170 watakaohusika katika mradi wa Bomba la Mafuta wapata mafunzoWatanzania 170 watakaohusika katika ujenzi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Hoima - Uganda hadi Chongoleani Tanga (EACOP), wamepatiwa mafunzo maalum yakayayowawezesha...
RAIS SAMIA ASHUHUDIA TUKIO LA UTIAJI SAINI MIKATABA YA UMEME VIJIJINI NA UIMARISHAJI GRIDI
RAIS SAMIA ASHUHUDIA TUKIO LA UTIAJI SAINI MIKATABA YA UMEME VIJIJINI NA UIMARISHAJI GRIDIVeronica Simba, Zuena Msuya na Issa Sabuni – Dar es SalaamRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia tukio kubwa la kihistori...
Mradi wa Bomba la Mafuta unaendelea kutekelezwa-BYABATO
Mradi wa Bomba la Mafuta unaendelea kutekelezwa-BYABATONaibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amesema kuwa, utekelezaji wa mradi Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania (EACOP) unaendelea kutekelezwa na kwamba shughuli mbalimbali z...
Watumishi watakiwa kufahamu maendeleo ya michango yao kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
Watumishi watakiwa kufahamu maendeleo ya michango yao kwenye Mifuko ya Hifadhi ya JamiiWatumishi wa Wizara ya Nishati wametakiwa kujenga utamaduni wa kufahamu maendeleo ya michango wanayochanga katika Mifuko wa Hifadhi ya Jamii ili kuondoa changamoto...
Nguzo za Mita 13 zinapatikana nchini wakandarasi zitumieni katika miradi ya kusambaza Umeme
Nguzo za Mita 13 zinapatikana nchini wakandarasi zitumieni katika miradi ya kusambaza UmemeKamati ya kuishauri Serikali namna ya upatikanaji wa Nguzo bora za Umeme za Miti, imesema kuwa nguzo za miti za umeme zenye ukubwa wa mita 13 zinapatikana nchi...