TANZANIA MWENYEJI KONGAMANO LA 10 LA JOTOARDHI MWAKA 2024
TANZANIA MWENYEJI KONGAMANO LA 10 LA JOTOARDHI MWAKA 2024Tanzania itakuwa mwenyeji wa Kongamano la 10 la Jotoardhi la Nchi za Ukanda wa Mashariki ya Afrika (African Rift Geothermal Conference - ARGeo) litakakofanyika Mwaka 2024.Hayo yameelezwa katika...
WIZARA YA NISHATI YAANZA KUTEKELEZA MAAGIZO YA RAIS
WIZARA YA NISHATI YAANZA KUTEKELEZA MAAGIZO YA RAISNa Timotheo Mathayo, Dar es salaamWaziri wa Nishati, January Makamba alisema kuwa wizara yake imeanza utekelezaji wa agizo la Rais alilotaka taasisi zote za umma na binafsi zenye watu zaidi ya 300 ku...
SERIKALI KUUNDA KIKUNDI KAZI KUHUSU NISHATI YA KUPIKIA.
SERIKALI KUUNDA KIKUNDI KAZI KUHUSU NISHATI YA KUPIKIA.Na Timotheo Mathayo, Dar es salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Wizara ya Nishati kuunda kikudi kazi kwa ajili ya kupitia na kuchakata Sera zilizop...
RAIS ATOA MWAKA MMOJA KWA TAASISI KUPIKIA NISHATI SAFI
RAIS ATOA MWAKA MMOJA KWA TAASISI KUPIKIA NISHATI SAFINa Timotheo Mathayo, Dar es salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza Taasisi na Idara za umma na binafsi zenye watu wasiopungua 300 kutumia nishati safi ku...
BYABATO AWATAKA WANANCHI MBARALI KUTOINGIZA MIFUGO KWENYE VYANZO VYA MAJI
BYABATO AWATAKA WANANCHI MBARALI KUTOINGIZA MIFUGO KWENYE VYANZO VYA MAJINaibu waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amewataka wananchi wa Kata ya Ubaruku Mbarali mkoani Mbeya kutoingiza mifugo kwenye vyanzo vya maji badala yake wavitunze ili vis...
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASHA UMEME WA GRIDI KASULU, KIGOMA
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASHA UMEME WA GRIDI KASULU, KIGOMARais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu tarehe 17 Oktoba, 2022 kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi, amewasha umeme wa Gridi ya Taifa katika Wilaya ya Kasulu mkoani...
Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia; JISAJILI SASA
Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 1-2 Novemba 2022.Ili kushiriki kwenye mjadala huo unatakiwa kujisajili kup...
Mjadala wa Kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia.. JISAJILI SASA
Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 1-2 Novemba 2022.Ili kushiriki kwenye mjadala huo unatakiwa kujisajili kup...
MANYANYA: TUMERIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA JNHPP.
MANYANYA: TUMERIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA JNHPP. Kamati ya kudumu ya Nishati na Madini imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi Mkubwa wa Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere Hydropower Project ambao unatekelezwa na Serikali kwa lengo la k...
VIJIJI 353 VINA UMEME GEITA
VIJIJI 353 VINA UMEME GEITASerikali imeahidi kuendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa umeme Vijijini ili kuwawezesha Wananchi waishio katika maeneo hayo kuwa na nishati ya uhakika itokanayo na umeme.Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa ahad...
Kamati ya Kudumu Bunge ya Nishati na Madini yakagua eneo la mradi wa LNG
Kamati ya Kudumu Bunge ya Nishati na Madini yakagua eneo la mradi wa LNGWajumbewa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wamekagua eneo la Likong’o mkoani Lindi ambapo kutatekelezwa mradi mkubwa wa kuchakata na kusindika Gesi Asilia (LNG) iki...
Kamati ya Bunge yapongeza wazawa kuendesha mitambo ya gesi nchini
Kamati ya Bunge yapongeza wazawa kuendesha mitambo ya gesi nchiniKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa kuwezesha vijana wa kitanzania kusimamia na kuendesha mit...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZAWAKALA WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA KWA KAZI NZURI
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZAWAKALA WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA KWA KAZI NZURIKamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, leo tarehe 11 Octoba, 2022, imefanya ziara ya kukagua Miundombinu ya Kupokea na Kuhifadhi Mafuta kwenye Bandari ya Mtwara na ku...
Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia. JISAJILI SASA
Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 1-2 Novemba 2022.Ili kushiriki kwenye mjadala huo unatakiwa kujisajili kup...
WAKILI BYABATO ASHIRIKI WIKI YA MAFUTA AFRIKA NA KONGAMANO LA NISHATI RAFIKI NCHINI AFRIKA YA KUSIN...
WAKILI BYABATO ASHIRIKI WIKI YA MAFUTA AFRIKA NA KONGAMANO LA NISHATI RAFIKI NCHINI AFRIKA YA KUSINI*Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato ameshiriki katika Wiki ya Mafuta Afrika (Africa Oil Week) na Kongamano la Nishati Rafiki (Green Energ...
BYABATO AHUDHURIA MKUTANO WA NGAZI YA JUU WA JOTOARDHI NCHINI EL SALVADOR
BYABATO AHUDHURIA MKUTANO WA NGAZI YA JUU WA JOTOARDHI NCHINI EL SALVADOR*Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amedhuria Mkutano wa Pili wa Ngazi ya Juu wa Jotoardhi _(2nd High Level Conference of the Global Geothermal Alliance), uliofanyi...
Waziri Makamba ashiriki warsha ya mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia nchini Norway
Waziri Makamba ashiriki warsha ya mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia nchini NorwayWaziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic, Mhe. Grace Olotu na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Elisabe...
Serikali inaendelea na ujenzi wa Bomba la Mafuta-Majaliwa
Serikali inaendelea na ujenzi wa Bomba la Mafuta-MajaliwaWaziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan inasimamia kikamilifu sekta ya nishati ikiwemo kuendelea kutekeleza mradi...
SERIKALI YAAHIDI KUJENGA VITUO 15 VYA KUPOZA UMEME.
SERIKALI YAAHIDI KUJENGA VITUO 15 VYA KUPOZA UMEME.Na Godfrey Mwemezi, Dodoma.Serikali inaendelea na mchakato wa kujenga vituo vya kupoza umeme katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika.Vituo 15 vya kupoz...
MITAA ISIYO NA UMEME HANDENI KUPATA HUDUMA HIYO IFIKAPO DESEMBA 2022
MITAA ISIYO NA UMEME HANDENI KUPATA HUDUMA HIYO IFIKAPO DESEMBA 2022Imeelezwa kuwa, Mitaa 28 ambayo bado haina umeme katika Jimbo la Handeni mjini ipo katika mpango wa kupatiwa umeme kupitia mradi wa umeme vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili unao...